๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ

๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425



๐Ÿ’ก Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฐ๐Ÿฌ ๐—ฆ๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.

๐Ÿ“ธ Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya ๐๐ž๐ซ๐ข๐ฌ๐œ๐จ๐ฉ๐ž ๐“๐ž๐ฅ๐ž๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž ๐‚๐š๐ฆ๐ž๐ซ๐š iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo. Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.

3_20250507_200801_0001.png


๐Ÿ”ญ Inaweza ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ผ๐—ผ๐—บ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ๐Ÿ˜‰, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.

5_20250507_200802_0003.png


2_20250507_200801_0000.png


๐Ÿ“ธ Sina shaka kabisa upande wa picha, video na zoom super 1000x Quality so fantastic ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, ni rafiki kwa kila mtu yani ukitumia utaweza ku enjoy sana.

Kwa msaada zaidi Tembelea @tecnomobiletz Instagram na @bongotech255
 
View attachment 3327191


๐Ÿ’ก Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฐ๐Ÿฌ ๐—ฆ๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.

๐Ÿ“ธ Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya ๐๐ž๐ซ๐ข๐ฌ๐œ๐จ๐ฉ๐ž ๐“๐ž๐ฅ๐ž๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž ๐‚๐š๐ฆ๐ž๐ซ๐š iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo. Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.

View attachment 3327192

๐Ÿ”ญ Inaweza ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ผ๐—ผ๐—บ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ๐Ÿ˜‰, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.

View attachment 3327194

View attachment 3327195

๐Ÿ“ธ Sina shaka kabisa upande wa picha, video na zoom super 1000x Quality so fantastic ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, ni rafiki kwa kila mtu yani ukitumia utaweza ku enjoy sana.

Kwa msaada zaidi Tembelea @tecnomobiletz Instagram na @bongotech255
Bei yake!
 
Hahahaha,dah! Huyu ni Mkenya,tumsamehee tu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Si u
View attachment 3327191


๐Ÿ’ก Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฐ๐Ÿฌ ๐—ฆ๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.

๐Ÿ“ธ Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya ๐๐ž๐ซ๐ข๐ฌ๐œ๐จ๐ฉ๐ž ๐“๐ž๐ฅ๐ž๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž ๐‚๐š๐ฆ๐ž๐ซ๐š iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo. Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.

View attachment 3327192

๐Ÿ”ญ Inaweza ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ผ๐—ผ๐—บ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ๐Ÿ˜‰, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.

View attachment 3327194

View attachment 3327195

๐Ÿ“ธ Sina shaka kabisa upande wa picha, video na zoom super 1000x Quality so fantastic ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, ni rafiki kwa kila mtu yani ukitumia utaweza ku enjoy sana.

Kwa msaada zaidi Tembelea @tecnomobiletz Instagram na @bongotech255
Si useme tu machoa manne
 
Hamna simu hapoโ€ฆโ€ฆ.
 
Kuna kitu watu wanachanganya; Tecno ni simu nzuri sana kwa soko lake ililolenga
Hata ukitaka hotel ya kulala; Kuna Hotel za kulipia shs milioni moja kwa usiku mmoja lakini zipo pia za kulipa shs 50,000 tena nzuri tu kwa soko lake. Pikipiki ya Honda na Houjue; zote ni pikipiki na kila moja inasoko lake na wala hakuna anayehangaika kuzilinganisha (honda yaweza kuwa 5mil, na Houjue 2.5mil na zote zinauzika

Ninacho maanisha hapa ni kuwa; Iphone wanalenga soko la juu pekee; Samsung wanalenga soko la juu na la kati na ndio sababu wanatengeneza simu za bei juu (S- series) na simu za bei poa (A, M series) japo sio bei rahisi sana kwa sababu zimelenga soko la kati.

Tecno nk wanalenga soko la kati na la chini hivyo ni ndoto kufikiria kuwa Tecno atatengeneza simu kama Iphone au Samsung S- series. Na ndio sababu, unaweza kupata tachi mpya nzuri sana ya tecno kwa shs laki tano lakini huwezi kupata simu used ya Samsung S-Series au Iphone kwa bei hiyo.

Kwa hiyo Ubora wa tachi ya tecno unaendana na soko lake la kati na la chini ambalo ni kubwa tu na wala usimdharau mtu anayemiliki Tecno kwani ndizo simu za watu wengi wa ulimwengu wa tatu.
Nirudie tena kusema, Tecno ni simu nzuri sana kwa soko lake ililolenga
 
View attachment 3327191


๐Ÿ’ก Kampuni ya Tecno katika toleo la simu Bora kwa mwaka 2025 basi hii ni ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฐ๐Ÿฌ ๐—ฆ๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ wametisha sana humu ndani kwa feature zake za kibabe sana.

๐Ÿ“ธ Achana na Yote Leo nakuambia kuhusu Teknolojia hii ya ๐๐ž๐ซ๐ข๐ฌ๐œ๐จ๐ฉ๐ž ๐“๐ž๐ฅ๐ž๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž ๐‚๐š๐ฆ๐ž๐ซ๐š iliyopo kwenye Tecno ni babu kubwa mnoo. Inakupa uwezo wa kuvuta kitu kilicho mbali kuwa karibu kwa ubora wa hali ya juu.

View attachment 3327192

๐Ÿ”ญ Inaweza ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ผ๐—ผ๐—บ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ๐Ÿ˜‰, ila kubwa zaidi ni kuhusu Kamera zake inatoa picha kali kwa upande wa picha za kawaida na video haswa zile za Outdoor ikiwa na mwangaza Bora kabisa.

View attachment 3327194

View attachment 3327195

๐Ÿ“ธ Sina shaka kabisa upande wa picha, video na zoom super 1000x Quality so fantastic ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, ni rafiki kwa kila mtu yani ukitumia utaweza ku enjoy sana.

Kwa msaada zaidi Tembelea @tecnomobiletz Instagram na @bongotech255
Hizi ndio nzuri, unamzoom mtu hata akiwa mbali hajui
 
Ngoja nimletee Vivo X200 Ultra, huyu ndio bingwa sasa.View attachment 3327223
Haya mambo ya kuangalia uwezo kwa namba usiyatilie maanani sana nimewahi kulinganisha Sony ya zamani tena ya keyboard ya kawaida yenye 5mega pixel na Nokia smartphone ya 13 mega pixel ya Sony ilikuwa na picha bora zaidi.Kwenye namba udanganyifu sana.
 
Kwahiyo mshampita Iphone nyie mna macho manne.. ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜น
 
Back
Top Bottom