Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,412

Iko kwenye hali nzuri.
For more info check via 0676475414
Duh kuen na hurumaKuna mtu anataka ila kwa elfu 80 vipi unaweza kufanya biashara?
Duh kuen na huruma
Haya toa bei ya kuuzia kama ilivyo desturi yetu ili uuze mzigo, hiyo uliotaja awali inabana
Mwanangu unaonekana muungwana afu mwelewa sana!Duh kuen na huruma
Bei iko hapo juu ni tshs 130,000/= mkuu .Haya toa bei ya kuuzia kama ilivyo desturi yetu ili uuze mzigo, hiyo uliotaja awali inabana
Mwanangu unaonekana muungwana afu mwelewa sana!
You are the man!
Naiuza sababu nimenunua nyingine ambayo ni latest zaidi ya hii hapa. Wengine sisi ni "chizi simu" ukitoka simu mpya hima tunadaka na kuendelea na maisha.Tatizo tunaweza kuwa waungwana ila wewe ukatuuzia kisicho cha uungwana. Sasa weka picha zote na useme kwanini unaiuza ili tumalize sasa hivi mkuu.
Naiuza sababu nimenunua nyingine ambayo ni latest zaidi ya hii hapa. Wengine sisi ni "chizi simu" ukitoka simu mpya hima tunadaka na kuendelea na maisha.Tatizo tunaweza kuwa waungwana ila wewe ukatuuzia kisicho cha uungwana. Sasa weka picha zote na useme kwanini unaiuza ili tumalize sasa hivi mkuu.
Kama kweli ni potential customer...fika bei maana actual price yake ilikuwa 150,000/= sema sikutaka kusumbuana saana nikaweka bei yangu ya kuuzia.Mkuu kuna 100,000 ya haraka haraka hapa
Nikiwa tayari kwa lipi mkuu?Asante mkuu ila ukiwa tayari ni pm
Angel exist, just sometimes they don't have wings and we call then strangers.bei nzuri sana hiyo
haina haja ya kubagain..
Niko mwanza wilaya ya Nyamagana mkuu! Upo wapi wewe?upo wapi?