Tecno H5:inauzwa

Well

Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
73
Reaction score
16
Habar wana Jf,natumai mu wazima napenda kuwa taarifu kwamba,nauza sim Tecno H5 ipo katika hali nzur(moja) napatikana Moshi(itakufikia mahal popote),samahan sijaweka picha kwasaab ya harakaharaka nitaiweka baadae pamoja na bei yake,Shukran sana wana Jf.


Tupo pamoja Tanzania nchi yetu
 

dah, hakuna namba ya simu hakuna bei!!!
 

upo u 90000
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…