Tecno D5

nashsuri chukua tecno n3 ni nzuri kuliko d3. n3 ni 3g na d3 ni 2g, ukiweza kijukamua zaidi chukua tecno N7 funiko la uhakika kea bei cheeeee.
 
nashsuri chukua tecno n3 ni nzuri kuliko d3. n3 ni 3g na d3 ni 2g, ukiweza kijukamua zaidi chukua tecno N7 funiko la uhakika kea bei cheeeee.
 
kama uko dar nenda kkoo kuna maduka ya techno tele utapata kama uko mkoanituma kwa njia ya ems tutakutumia mzigo ulioomba una jingine sema?
Jamani natafuta hiyo simu mpya wapi nitapata na bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…