Jamani nimeitwa na hawa jamaa techno brain kwa ajili ya oral interview, vp mishahara yao, tupeane data jameni
hongera mkuu..mishahara yao iko poa,mbona walisema ni next wk iweje waite mapema?
hongera mkuu..mishahara yao iko poa,mbona walisema ni next wk iweje waite mapema?