Frank mtanganyika
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 511
- 808
Wakuu naombeni msaada wa kazi yeyote halali yenye kuingiza kipato mimi ni Civil technician, nimesoma diploma ya civil engineering nina experience ya miaka 5. Niko jobless toka mwaka jana mwenzi wa 4 kwa sasa napatikana Arusha mjini.
Kutokana na hali ya maisha nafanya kazi za vibarua viwandani hivyo naombeni msaada wa kaz yenye kipato chenye kuridhisha maana kiukweli nina familia inayonitegemea na kazi ya kibarua cha Shilingi elfu 6 au 5 kwa siku Kwa mm mwenye familia ni kiwango kidogo sana. Mwenye uwezo wa kunisaidia kwa namna moja au nyingine tafadhali.
Naimani hapa ni sehemu ya magreat thinkers na watu wenye mawazo chanya hivyo ntapata msaada mzur hata wa kimawazo.
Kutokana na hali ya maisha nafanya kazi za vibarua viwandani hivyo naombeni msaada wa kaz yenye kipato chenye kuridhisha maana kiukweli nina familia inayonitegemea na kazi ya kibarua cha Shilingi elfu 6 au 5 kwa siku Kwa mm mwenye familia ni kiwango kidogo sana. Mwenye uwezo wa kunisaidia kwa namna moja au nyingine tafadhali.
Naimani hapa ni sehemu ya magreat thinkers na watu wenye mawazo chanya hivyo ntapata msaada mzur hata wa kimawazo.