Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,961
- 3,695
Kwenye mitandao ya jamii toka asubuhi ya leo, habari inayotikisa ni 'Unywaji wa maji kwa wingi ili uwe mweupe' na hii imetokana na kauli aliyoitoa mwigizaji wa Bongo Movie, Ray Kigosi, kuwa yeye hajajichubua bali kunywa maji mengi ndiko kulikomfanya awe mweupe. Hiyo imepelekea kuanzishwa timu kwenye mitandao ya kijamii inayoitwa 'Team Water Baby' ambao kila mmoja anatupia picha akiwa anakunywa maji huku wengine wakiogelea ili wawe weupe.
comment chochote kama muigzaji huyu amekufurahisha siku ya leo