Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 35,829 Reaction score 47,148 Jun 23, 2020 #2 ...πππ...siasa za kistaarabu nzuri sana. Wamewachana ukweli
mbalaka JF-Expert Member Joined Oct 7, 2017 Posts 2,240 Reaction score 2,633 Jun 23, 2020 #3 Jackal said: View attachment 1486808 Click to expand... Mkapa kikwete wanamlaumu Jiwe kuhusu umasikini wa watanzania.
Jackal said: View attachment 1486808 Click to expand... Mkapa kikwete wanamlaumu Jiwe kuhusu umasikini wa watanzania.
Nafaka JF-Expert Member Joined Feb 17, 2015 Posts 12,157 Reaction score 31,334 Jun 23, 2020 #4 dah yani kagonga msumari
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,121 Reaction score 14,032 Jun 23, 2020 #5 Lakini Hakuna aliyewahi kushika nchi hapo...yamkini angeshika mmoja wapo wasingelalamika
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,953 Reaction score 146,227 Jun 23, 2020 #6 Siasa za kuangalia watu badala ya sera ni utapiamlo wa akili.
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 24,688 Reaction score 56,425 Jun 23, 2020 #7 Proved said: ...πππ...siasa za kistaarabu nzuri sana. Wamewachana ukweli Click to expand... ... yaani kweli tena kweli tupu!
Proved said: ...πππ...siasa za kistaarabu nzuri sana. Wamewachana ukweli Click to expand... ... yaani kweli tena kweli tupu!
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 24,688 Reaction score 56,425 Jun 23, 2020 #8 mbalaka said: Mkapa kikwete wanamlaumu Jiwe kuhusu umasikini wa watanzania. Click to expand... ... mfano usio na mshiko huo! Has been in the government since 1990's.
mbalaka said: Mkapa kikwete wanamlaumu Jiwe kuhusu umasikini wa watanzania. Click to expand... ... mfano usio na mshiko huo! Has been in the government since 1990's.
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,613 Jun 23, 2020 #9 kelao said: Wazungu bhana. View attachment 1486855 Click to expand... Hiki ndo Marekani kinaifanya iwe so unique Sijui hata kama Kenya achilia mbali Tanzania Mtu anaweza fanya hivi..
kelao said: Wazungu bhana. View attachment 1486855 Click to expand... Hiki ndo Marekani kinaifanya iwe so unique Sijui hata kama Kenya achilia mbali Tanzania Mtu anaweza fanya hivi..
Mtende JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 6,385 Reaction score 7,335 Jun 23, 2020 #10 Kesi ya uhujumu uchumi na uchochezi itakuhusu The Boss said: Hiki ndo Marekani kinaifanya iwe so unique Sijui hata kama Kenya achilia mbali Tanzania Mtu anaweza fanya hivi.. Click to expand...
Kesi ya uhujumu uchumi na uchochezi itakuhusu The Boss said: Hiki ndo Marekani kinaifanya iwe so unique Sijui hata kama Kenya achilia mbali Tanzania Mtu anaweza fanya hivi.. Click to expand...
sky soldier JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 5,406 Reaction score 19,361 Jun 23, 2020 #11 Drone Camera said: Lakini Hakuna aliyewahi kushika nchi hapo...yamkini angeshika mmoja wapo wasingelalamika Click to expand... vuta picha unamkabidhi gari mtu aloeshindwa kupita driving test kwa miaka zaidi ya 30, uraisi sio cheo cha majaribio, hao wanaweza kuwa na uzoefu lakini ni bad experience
Drone Camera said: Lakini Hakuna aliyewahi kushika nchi hapo...yamkini angeshika mmoja wapo wasingelalamika Click to expand... vuta picha unamkabidhi gari mtu aloeshindwa kupita driving test kwa miaka zaidi ya 30, uraisi sio cheo cha majaribio, hao wanaweza kuwa na uzoefu lakini ni bad experience
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,613 Jun 23, 2020 #12 Mtende said: Kesi ya uhujumu uchumi na uchochezi itakuhusu Click to expand... Na kutakatisha fedha
Mtende JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 6,385 Reaction score 7,335 Jun 23, 2020 #13 Na bado October tunapata ushindi wa kishindo The Boss said: Na kutakatisha fedha Click to expand...
Jackal JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 10,258 Reaction score 14,102 Jun 24, 2020 Thread starter #14