Teaching request

Teaching request

Mwendamsakafu

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
38
Reaction score
4
am degree holder from UDSM, with experience of one year in teaching Biology and Chemistry in one of school at dar.contact with me on; 0682883703
 
Kwa masomo hayo utapata mkuu!Ila tegemea madongo kwenye hiyo english muda si mrefu kutoka kwa majamaa!
 
Ndugu, nenda kwenye shule wewe mwenyewe. Ni rahisi sana kupata kama binafsi utakwenda kwenye shule mbalimbali kuomba nafasi. Shida iliyopo kwa baadhi ya wahitimu ni kuwa, wapo ambao hawazunguki sana kutafuta ajira wao binafsi, wakiwa na imani kuwa fani walizosomea ajira nje nje, zunguka ndugu na utapata tu, ila kama utangoja mpaka watu wakupashe habari unaweza ukakaa sana.
 
Back
Top Bottom