TCU selection

Gray Ze Don

Member
Joined
Aug 18, 2013
Posts
36
Reaction score
3
Wapendwa poleni na majukumu ya kila siku. Naombeni msaada jamani, eti selection za first year undergraduate zishatoka?
 
bado kwa sasa wanaomba waliokosa vyuo mwisho wa kureply ni 30/9
 
Mbona kuna mkanganyiko wengine tar 18 wengine 30.ipi ni tarehe sahihi wadau?(ila kwny tangazo lao walionyesha tar 30 mwisho)
 
subirini_ bhna kan bado mna pressure au saiv ndo mizuka...!!?
 
tarehe 30/8 ilikuwa ya awam ya 1 awam ya pili mwisho ni leo
 
tarehe 30/8 ilikuwa ya awam ya 1 awam ya pili mwisho ni leo

tunabishana nin wakati tcu wameandika katika www.tcu.go.tz kuwa mwisho wa reapplication ni 30/9 sas wansobisha cjii wametoa wapi hiyo taarifa mcchanganye mambo na wale wa nacte wanaomba education wao ndo wameambiwa mwisho leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…