TCU nn shida?

Erickson0708

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
207
Reaction score
34
Oiiiii wadau wa jf kwa wale tulifanya maomb ya vyuo mwaka huu. Profile zenu za tcu zinafunguka?au
 
Mkuu tcu hafungui aisee namimi nilikuwa natakakufanya application izi dakika za mwisho du itakula kwangu et
 
Mkuu tcu hafungui aisee namimi nilikuwa natakakufanya application izi dakika za mwisho du itakula kwangu et

We kweli jita.... Muda wote huo mliopewa unatak kuwasumbua tcu saivi?hauko sereous na shule.na wakunyooshe tu
 
😂😂😂😂😂😂😂 kweli ye ni jitaa
 
Mkuu tcu hafungui aisee namimi nilikuwa natakakufanya application izi dakika za mwisho du itakula kwangu et

inafunguka Fanya chap coz nimekuombea wakufungulie kidgo sasa wew tea tea sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…