Habariii wana jamiiiii
Kama kichwa cha habar kilivo hapo juu, kwa anayefaham atufahamishe kama guide book ya2014/2015 imeshatoka tayari ,need for application into degree•••
Habariii wana jamiiiii
Kama kichwa cha habar kilivo hapo juu, kwa anayefaham atufahamishe kama guide book ya2014/2015 imeshatoka tayari ,need for application into degree•••
kama sijaelewa vizuri. Katika hyo guidebook kuna ile column ya admission requirements wameandika diploma(teacher education or NTA level 6) sasa wanamaanisha mtu anaweza kuapply degree hata kozi tofauti na ed? Naombeni maelezo kwa aliye ielewa vizuri.