alphonce.NET JF-Expert Member Jul 19, 2013 1,701 6,045 Dec 30, 2015 #2 Sasa kama tunaohujumiwa ni sisi watumiaji wa hiyo mitandao, kwa nini faini wasilipwe waasirika kama fidia?
Sasa kama tunaohujumiwa ni sisi watumiaji wa hiyo mitandao, kwa nini faini wasilipwe waasirika kama fidia?
mkurya org. JF-Expert Member Sep 25, 2014 1,571 1,695 Dec 30, 2015 #3 Mi najua tu hiyo ni danganya toto sidhani kama hiyo adhabu itatekelezeka ila tusubiri tuone,,,,!!
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 16,039 7,464 Dec 30, 2015 #4 Spoofed msgs aliziruhusu Makamba akiwa Mawasiliano.....sasa wasilielie
MeinKempf JF-Expert Member Jun 11, 2013 11,093 7,228 Dec 30, 2015 #5 Mbona litaarifa lirefuuuu...mpaka lina boa kusoma . mimi nimeshindwa hata kulisoma, sijui huyo afisa habari wake ni mwandishi wa OFM..?
Mbona litaarifa lirefuuuu...mpaka lina boa kusoma . mimi nimeshindwa hata kulisoma, sijui huyo afisa habari wake ni mwandishi wa OFM..?
Kaundime2 JF-Expert Member Feb 24, 2015 1,085 459 Dec 30, 2015 #6 Kwanini huyo Makamba aliruhusu hizo msg?
shabani JF-Expert Member Apr 3, 2009 309 221 Dec 30, 2015 #7 25m ndio faini ya kuzipiga hizi kampuni? Si utani kabisaa huu. Hizi pesa wanazipata ndani ya sekunde kadhaa tuu watakazotuibia mkoa mmoja tuu.
25m ndio faini ya kuzipiga hizi kampuni? Si utani kabisaa huu. Hizi pesa wanazipata ndani ya sekunde kadhaa tuu watakazotuibia mkoa mmoja tuu.
Mkwala JF-Expert Member Sep 30, 2014 1,164 1,243 Dec 30, 2015 #8 Hawa na mitandao yao wanatulia hela zetu mpaka,bora majipu yao yatumbuliweeee.
Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,092 53,493 Dec 30, 2015 #10 Wananchi wanaotumia hiyo mitandao ndio walipwe fidia.