TCRA waangalieni Halotel

weka mkono wako wa kulia kifuani halafu sema kwa nguvu "mimi ni mjinga, sistahili kua binadamu, nastahili kua panya maana akili yangu ni sawa na panya"
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ 🀣 🀣
 
Rudi Nyumbani Kumenoga

TTCL baadhi tmya maeneo mtandao wao haukamati kabisa. Hata hao TTCL miyeyusho tupu, kuna siku niliniunga toboa bando mambo hovyo hovyo tu yaani. Afadhali imebaki Tigo na Voda sema huduma zao zimekuwa ghali sana kwa mimi ninayeishi maisha kusaka tonge.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Kwa wenzetu wa dunia ya kwanza ushindani wa biashara kati ya kampuni za simu ungekuwa katika kuboresha huduma zao lakini hapa wanashindana kwa kumwibia mteja!
TCRA kazi yao ni kusimamia dhuluma na udukuzi wa raia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwamba TCRA wanasimamia udukuzi na duhuluma zinazofanywa na hii mitandao.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Mimi huwa natumia vizuri tu hicho kifurushi cha 1500 na lengo langu linatimia. Hapo shida ipo kwako huenda uwezo wa simu yako halotel bado ipo vizuri mno.

Broo natumia Iphone 8 plus, sema tu hawa halotel ni miyeyusho siku hizi ila hapo nyuma ulikuwa ndio mtandao wangu pendwa.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 

Haswaaaa, ngoja namimi nianzee kutembea na mwendo wa Buku buku tu hakuna jinsi


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…