ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 329
Hiki king'amuzi n shida kweli kweli...
Kwa wiki unaweza pata Masafa siku tatu tuu na wakat mwingine wiki inaisha hakuna masafa.
Utaona kinakwambia.. NO SIGNAL.. Ukiwapigia simu hawapokei wala kukupigia..
Kimsingi wanatuibia fedha zetu waziwazi..... Na wanafanya makusudi kubana matumiz..
Napenda pia kutoa rai kama kuna mtu anataka kukinunua ni bora akaachana na mpango huo bora ununue start times ni kizuri mno... Huyu muhindi Alinandezi hafai hata kuigwa si mtu wa Mungu Bali mwizi mkubwa.
Naomba mamlaka husika mlione hili na mchukue hatua Kali hata kuwafungia daima
Kwa wiki unaweza pata Masafa siku tatu tuu na wakat mwingine wiki inaisha hakuna masafa.
Utaona kinakwambia.. NO SIGNAL.. Ukiwapigia simu hawapokei wala kukupigia..
Kimsingi wanatuibia fedha zetu waziwazi..... Na wanafanya makusudi kubana matumiz..
Napenda pia kutoa rai kama kuna mtu anataka kukinunua ni bora akaachana na mpango huo bora ununue start times ni kizuri mno... Huyu muhindi Alinandezi hafai hata kuigwa si mtu wa Mungu Bali mwizi mkubwa.
Naomba mamlaka husika mlione hili na mchukue hatua Kali hata kuwafungia daima