TCRA - continental decoder ni wizi mtupu

TCRA - continental decoder ni wizi mtupu

Wizzo

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
723
Reaction score
256
Kiukweli hiki kisimbusi ni usumbufu, toka nimenunu mwezi wa nane sasa kidude kinascrach mda wote, picha mbovu hakuna nachoonazaidi ya mgando wa picha mda wote. Nimekwenda ofisini kwao hapa Arusha wakanambia ndiyo wanarekebisha sioni mabadiliko yoyote mpaka najuta hela yangu ngenunua hata mifuko ya sementi.signal iko poor wanataka uweke liakntena juu utafikiri ni analog bwana,mbona visimbusi vingine havihitaji kutoa nje? Jipangane bwana tumechoka huu wizi kama mlijua bado hajajipanga msingeomba kibali. Na nyie TCRA mue mnaangalie kabla hamjaipa kampuni kazi, naomba muwachunguze kama hawana uwezo muwafute kwasababu wanatupa mateso sisi wateja.huku Arusha hakifanyi kazi kabisa
 
Me nimekiweka kabatini long...nilikuwa natumia dodoma kila siku majanga ma excused...walinikwaza sana.
 
Kiukweli hela inaniuma sana na hakuna kinchoendelea,Dialo acha wizi kaka
 
Kitu AZAM TV bana! Channel kibao na nzuri zenye picha very clear kwa 12,500 kwa mwezi tu!
 
Wazee wa "tunaomba samahani kwa usumbufu"

maana kila siku nasikia wanaomba samahani sasa sijui kinafanya kazi muda gani.
 
Kama TCRA wangekuwa wanafanya kazi zao kwa umakini, matatizo yote haya yangeondoka. Mimi natumia ZUKU lakini ghafla Chanel za hapa nchini ikiwemo TBC na Channel Ten licha ya kuzilipia lakini zimeondolewa bila taarifa. Unajjuliza hupati jibu!
 
Dah hizi dekoda za antena always zimekuwa kero sasa.....lakini za satellite km azam na zuku ni poa sana
 
^^
Basi nikadhani nimekosea ufungaji wa antena!!
CONTINENTAL ARUSHA wanakera sana, tena sana. Simshauri mtu kununua decoder hii. Kwanza
Ukiwapigia simu hawapokei,
Picha angavu wanazosema ni lugha ya kuvuta wateja hawana lolote.
Hata level ifike 90 au 100 haina mabadiliko yoyote.
Wanachezea pesa zetu tu!
Kama hampo tayari kwa digitari si muache tu!
I hate you for real
^^
 
^^
Basi nikadhani nimekosea ufungaji wa antena!!
CONTINENTAL ARUSHA wanakera sana, tena sana. Simshauri mtu kununua decoder hii. Kwanza
Ukiwapigia simu hawapokei,
Picha angavu wanazosema ni lugha ya kuvuta wateja hawana lolote.
Hata level ifike 90 au 100 haina mabadiliko yoyote.
Wanachezea pesa zetu tu!
Kama hampo tayari kwa digitari si muache tu!
I hate you for real
^^

Iukweli inaniuma sana mpaka najuta nililinunua la nini,Arusha nimajanga linganda mda wote
 
Jipu hapa ni TCRA na cyo Continental Decoder maana mvua ikinyesha king'amuzi chao cha satellite kinakata hii shida sana ....
 
Back
Top Bottom