Watanzania tulikuwa tunapigwa kwa kuuziwa simu fake lakini TCRA walikaa kimya mpaka tulipokuwa taabani wakaja na jibu kuwa fake sasa basi.
Leo hii tunaibiwa simu kila siku TCRA wako kimya kama vile hawapo.
Nina namba ya EMEI ya simu yangu iliyoibiwa na siku ilipoibiwa na mtu aliyeiiba. Mwizi huyo aliniibia SAMSUNG GALAXY NOTE 4 akaiuza kwa shilling laki moja.
Mwizi anachofanya ni kujificha tu ili POLICE wasimkamate. TCRA saidieni watu wanapata hasara kwa kupoteza simu zao.
Leo hii tunaibiwa simu kila siku TCRA wako kimya kama vile hawapo.
Nina namba ya EMEI ya simu yangu iliyoibiwa na siku ilipoibiwa na mtu aliyeiiba. Mwizi huyo aliniibia SAMSUNG GALAXY NOTE 4 akaiuza kwa shilling laki moja.
Mwizi anachofanya ni kujificha tu ili POLICE wasimkamate. TCRA saidieni watu wanapata hasara kwa kupoteza simu zao.