Its just sharing of idea,kama hujui or your not willing potezea sio sehemu ya kejeli hii.Hili ni jukwaa la wanaojielewa(The Home of great thinkers)
kaka jamaa anachokwambia ndoo ukweli, wameamua kukuita interview unaanza kuomba msaada wa jinsi ya kujibu maswali maana yake nn, na hiyo kazi utaiweza kweli maana inaonyesha haujiamini,,,,sasa ukikosa kazi utamlaumu mtu maana kila kitu unataka urahisishiwe,,,,ur not serious na kazi na kama ungejulika kwa jina basi ungekuwa disquirified maana haujiamini hata kidogo,,,,au umehonga ili uitwe interview na jamaa uliyempa pesa akakwambia atakuita ila chumba cha intrvw komaa mwenyewe maana hatakuwepo,,,,,,acha uvivu wa mawazo,,,,,mm mwenzako hata leo nisikie naenda kufanyiwa intvw na Obama nakwambia ukweli najiamini sana,,,watz mnataka kazi hata kuitetea hiyo kazi hamuwezi mnataka msaada wa mawazi, shame on you,
We ishakula kwako, huwez kaz unalalamika serkali inabana haya umeitwa interview unataka upewe desa, shame on you
Mkuu naona ww hujanielewa kabisa,sio kwamba sijiamini najiamini sana ila ni kwamba natakujua je interview za TBS huwa zinakuwaje,najiamini sana mkuu tena sana its more than the way you think.
Mkuu mimi nakushauri piga madesa yako fresh..sali na uende na Mungu wako naona humu hamna msaada...haya ni mawazo yangu tu..Mkuu naona ww hujanielewa kabisa,sio kwamba sijiamini najiamini sana ila ni kwamba natakujua je interview za TBS huwa zinakuwaje,najiamini sana mkuu tena sana its more than the way you think.
Kama unajiamini sasa hapa unatafuta nini?
mbona hazba uliapply ukakosa nn?
mbona hazba uliapply ukakosa nn?
Yani kwa akili yako unadhani mimi ni mtu wa kuajiliwa? Nahitaji kuajiri watu msiokuwa na maarifa kama wewe zaidi ya watano.