TBC2 vs ZBC2

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Utafiti uchwara: Nashangaa watu mitaani hasa vijana wanaitaja ZBC2 zaidi kuliko TBC2, bado naitafuta sababu ya jambo hili
 
Zenj wajanja, michuano yote inayohusu africa lazima waoneshe. TBC 2 wao minyimbo ya ujinga tu
 
Zbc2 wana maadili wanarusha vipindi vyeny maadili kuliko tbc2
 
ZBC2 hata mwanangu wa 3yrs anaipenda na kuijua TBC2 hata kuitamka hawezi.Wazanzibari wanafocus kuliko Bara ni ubabe na utemi tuu
 
Nilitegemea hii TBC 2 ingekuwa bonge la burudani lakini wapi upuuzi mtupu,Hivi CAF si wanawapa haki au kulipia kiasi kidogo kuonyesha mashindano yao,TV station zote za Taifa!,sasa nini kiliwashinda hawa TBC?..
 
Inatakiwa damu mpya pale tbc zote...
Wazee waliopo hovyo tu hata mitambo yenyewe inazingua wamejaa uhujumu tu...
 
Kwani tbc2kunakuzindua kitu?heri waonyeshe harusi zakitaa amaakweli
 
Just point your finger in any of these green dots in the globe ... You can hear the FM radio of that place

*AMAZING TECHNOLOGY*


Radio Garden
 
Kuanzia mkurungezi wao na program Managers akili hamna hata moja
 
Hivi wew ni timamu kweli utazame TBC..? Mimi nasikilizaga TBC radio tu.tena kipindi cha miziki ya zilipendwa basiiii.........
 
Hivi wew ni timamu kweli utazame TBC..? Mimi nasikilizaga TBC radio tu.tena kipindi cha miziki ya zilipendwa basiiii.........
Kituo cha TBC2 kiliponzishwa nilidhani huko ndiko yatapatikana mambo motomoto kama mipira live, bunge live, nk ili kupisha TBC1 ushughulike na mambo mengine ya kitaifa. Hii imesababisha king'amuzi cha starTimes kupoteza mvuto hasa kwa vijana
 
Hata yakitokea mashindano ambayo kuna mtanzania anashiriki mfano juzi yule aliyeshinda huku india , lakini TBC 2 kuanzia asubuhi mpaka kukicha ni miziki tuu , sasa sijui iliundwa ya nini bora ibaki ile TBC 1 PEKE YAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…