TBC1 ni bonge la jipu, udhaifu wake ufanyiwe kazi

Am a star

Senior Member
Sep 22, 2015
167
158
Najua mpaka unaisoma hii uko poa kiafya angalau.. Hata kama si sana.

Kifupi sana ni kwamba; Picha mbovu, Sauti ndio laaa, Kumradhi, kama elfu kwa siku, Habari hii watatangaza itaonesha nyingine, Mara harusi... Mpangilio wa vipindi F. F. F.

Watangazaji wake wengi ni kama hawajiamini. Hizo camera zao sijui walipiga ufisadi ni mbovu..

Mzee njooo huku utumbue.. Au mkabidhi mzee Mengi hadi pale itakaponyooka.

Sisi vijana hatupendi kuiangalia coz bado ipo Analog.
 
Najua mpaka unaisoma hii uko poa kiafya angalau..hata kama si sana.
Kifupi sana nikwamba,
Picha mbovu...
Sauti ndio laaa...
Kumradhi kama elfu kwa siku...
Habari hii watatangaza itaonesha nyingine...
Mara harusi...
Mpangilio wa vipindi F. F. F

Watangazaji wake wengi ni kama hawajiamini hzo camera zao sijui walipiga ufisadi ni mbovu.. Mzee njooo huku utumbue..
Au mkabidhi mzee mengi hadi pale itakaponyooka
Sisi vijana hatupendi kuiangalia coz bado ipo kidigital...

Bado ipo kidigital!!! labda mimi sijakuelewa mkuu, labda ulitaka kuandika kianalogia
 
Back
Top Bottom