Tunaelekea 2026 bado unaitegemea TBCCM basi nina mashaka na afya yako ya akiliHabari za mchana wana jf, TBC1 walisema wataonyesha mechi 32 kati ya 54 za AFCON, mwenye kujua mechi hizo ni zipi aniambie hapa.
Na video hazina qualityTunaelekea 2026 bado unaitegemea TBCCM basi nina mashaka na afya yako ya akili
Sasa siku kukiwa na mkutano mubashara wa Rais Samia na Mawaziri wake Ikulu,kuzindua miradi au Mkutano Ccm nk watakatisha matangazo ya mpira km mechi itakuwa ilishaanza na km Bado kuanza Ina maana haitaoneshwa kabisa? Majibu tafadhali wale makada kindakindaki waliopo umu jf..
Lakini Bdo local tv stations zetu nyingi hazina mng'ao HD sio Itv,sio Chanel taifa Tbc nk, ila ndo Ivo km huna Hela kulipia elfu28 Tbc huwez kuikwepa kwenye hizi Afcon ila stl sio reliable na