Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
nafikiri hayo ni maoni yako. mimi binafsi huangalia TBC1 kukiwa na mpira au baadhi ya siku tamthilia lakini taarifa ya habari najiendea zangu ITV au star maana TBC wako biased. kwangu mimi ITV na star ni bora kuliko TBC1. anyway television ya taifa lakini ni watu wangapi tanzania wanayoiona ? Star TV kwa sasa inaonekana karibu tanzania nzima. Namaanisha hata watu wa kawaida ni kununua tu ka antenna (sio dish) na unaiona star. TBC1 no no.
Star TV ina watangazaji wasiojua kutamka majina kama Andy Murray( hadi hivi karibuni walikuwa wakitamka (Andi Mulei)
Mie si walaumu sana kwa hili . Majina mengine ya kizungu ni magumu kutamka hasa kwa ndimi zilizozoea kiswahili. Hata watangazaji wa BBC (English) nao huwa wanachemsha kutamka majina ya kiafrika: Kwa mfano 'Mkapa' utasikia wanasema 'Makapa' nk. Hata hivyo kama kioo cha jamii wanapaswa kujiandaa kabla.
The rest of your criticisms are true and fair.