TBC rekebisheni hili

TBC rekebisheni hili

daniel kalasha

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
548
Reaction score
72
KWENYE TAARIFA ZAENU ZA HABARI HASA MNAPO RIPORT TAARIFA ZA BUNGE LA KATIBA KWENYE SI MARA MOJA MNAKOSEA JINA LA MWENYE KITI WA MUDA MNAANDIKA PUNDA BADALA YA PANDU KIFICHO:faint2:
 
.... na wewe rekebisha kichwa cha habari sio "lekebisha"
 
PUNDA na PANDU yanatumika inter-changeably...PUNDA ina-sound vizuri zaidi!
 
Jina lake ni Pandu, sasa hilo la Punda limetoka wapi?. Jina ninalofahamika la Waziri Mkuu ni Pinda, na la Mwenyekiti ni Pandu. Labda TBC ilikosea kwa bahati mbaya kuliandika jina la Mwenyekiti na kuliita la huko Songea.
 
KWENYE TAARIFA ZAENU ZA HABARI HASA MNAPO RIPORT TAARIFA ZA BUNGE LA KATIBA KWENYE SI MARA MOJA MNAKOSEA JINA LA MWENYE KITI WA MUDA MNAANDIKA PUNDA BADALA YA PANDU KIFICHO:faint2:
Pia TBC Taifa rusheni vipindi vya bunge asubuhi na jioni. Sio kama sasa mnarusha asubuhi tu.
 
Sioni ajabu kwani hata ukiwauliza muungano wa Tanzania umetokana na nchi ya Zanzibar kuungana na nchi gani? Watakujibu Tanzania bara.
 
narekesha wadau naamini TBC wamelisikia pia watupe vipindi vya marudio kwani wengine tuliopo makazini tunakosa fursa hii muhim
 
TBC wana mambo mengi sana ya kurekebisha ili warudishe ile heshima ya TBC enzi za Mhando aliyehamia Mwananchi. sio tena tv ya taifa. mimi ningekuwa na uwezo ningezuia kodi zetu zisiende kwao.
 
TBC inasumbua sana huku Kigoma hasa wale tunaotumia Dish za futi sita,iweje ITV iwe na signal kubwa kuliko televisheni ya taifa? Scratch ni nyingi sana mpaka inakera.
 
Back
Top Bottom