mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 772
Huo walioko kwenye hiyo show sio wa TZ?
Maney talk, wamepewa pesa show hairushwi bure
Kipind mjukuu wa malkia anao vyombo vyote vya habar vilielekezwa kwenye ile familia, yalikua yanatuhusu? Mbona hukuuliza?
Ni kitu gan unataka wakurushie? Yan tokea January mpk leo hujaridhika? Lala
Ninawasiwasi na kiwango cha uelewa wako katika mambo ya kitaifa...inaonekana hujaenda shule kabisa
Hahaaaa umenichekesha mkuu umeongea ukweli saa saba hii alitaka taarifa zp tn,kilimo.bora cha viaz au mpunga?akalale huko
Hata fiesta ni jambo la kitaifa pia katika mambo ya burudani ,au leaders siku Hiz ipo Kenya?? Na wale maelfu ya mashabiki pale ni wazulu et??
chombo hiki cha umma kinaonyesha live miziki ya fiesta badala ya kuonyesha mambo mbalimbli ya kitaifa...imekuwa ni kawaida kwa chombo hiki cha umma kuonyesha mambo ya hovyo huku kikiyapa kisogo mambo muhimu ya kitaifa..kweli chombo hiki ni janga la taifa.
chombo hiki cha umma kinaonyesha live miziki ya fiesta badala ya kuonyesha mambo mbalimbli ya kitaifa...imekuwa ni kawaida kwa chombo hiki cha umma kuonyesha mambo ya hovyo huku kikiyapa kisogo mambo muhimu ya kitaifa..kweli chombo hiki ni janga la taifa.
chombo hiki cha umma kinaonyesha live miziki ya fiesta badala ya kuonyesha mambo mbalimbli ya kitaifa...imekuwa ni kawaida kwa chombo hiki cha umma kuonyesha mambo ya hovyo huku kikiyapa kisogo mambo muhimu ya kitaifa..kweli chombo hiki ni janga la taifa.
Ninawasiwasi na kiwango cha uelewa wako katika mambo ya kitaifa...inaonekana hujaenda shule kabisa
Burudani sio jambo la hovyo hovyo bana.
Isitoshe inachangia pato la taifa na inatoa ajira.
Hata fiesta ni jambo la kitaifa pia katika mambo ya burudani ,au leaders siku Hiz ipo Kenya?? Na wale maelfu ya mashabiki pale ni wazulu et??
Burudani sio jambo la hovyo hovyo bana.
Isitoshe inachangia pato la taifa na inatoa ajira.
Mi najua chombo cha umma ni ITV, STAR TV, CHANEL TEN, n.k ambavyo viko karibu na wananchi. Kumbe hata tbc ni chombo umma!!?
Tena inapunguza stress, sio kila mara ukiwasha tv unaona 'kilimo cha mihogo Mbozi' utapoteza watazamaji, ohoo..!?
Huo walioko kwenye hiyo show sio wa TZ?
Maney talk, wamepewa pesa show hairushwi bure
Kipind mjukuu wa malkia anao vyombo vyote vya habar vilielekezwa kwenye ile familia, yalikua yanatuhusu? Mbona hukuuliza?
Ni kitu gan unataka wakurushie? Yan tokea January mpk leo hujaridhika? Lala