King Octavian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 403
- 353
Jamani mimi hili jambo linanikera sana kwa hii televisheni yetu ya Taifa kwa upande wa vipindi vyake kuanzia saa5 usiku. yaan wanapiga tu music, hivi kweli televisheni ya taifa inayoendeshwa kwa kodi za wananchi wanashindwa kuwa creative kutafuta vipindi vikarushwa muda huo, basi waweke hata mikanda ya wanyama wapromote utalii, TBC2 music ukienda TBC1 music what is this, tafutane hata documentary muwe mnaweka mbona zipo nyingi zenye kufunza. mfano ikitokea msiba wa taifa ambao utaradhimu bendera kushushwa nusu mlingoti eehee usiku mtapiga music? au mtazima mitambo?