samirnasri JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 1,388 Reaction score 215 Jun 25, 2011 #21 tbc wanauma na kupuliza tu japokuwa leo kweli wameipa airtime ya kutosha hasa kwenye kale ka runinga kao kadogo maana walikuwa wanakarudiarudia, hiyo habari ilioneshwa na star tv jana.
tbc wanauma na kupuliza tu japokuwa leo kweli wameipa airtime ya kutosha hasa kwenye kale ka runinga kao kadogo maana walikuwa wanakarudiarudia, hiyo habari ilioneshwa na star tv jana.