Msinjila89
Member
- Aug 4, 2019
- 14
- 7
Sina kumbukumbu kbsa ni lini nimeangalia ama kusikiliza TBC kila wakati ni mapambio tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora niangalie TBC Wasafi WCB ndio nini ? bora clouds kuna content .TBC wanaajiri kwa GPA. Hakuna mwenye talent hapo. Sio kama Clouds au Wasafi au TVE. Watu wana ma Upper Second ila kazi ni ugoro mtupu!
aisee mnapata wapi ujasiri wa kutazama TBC??
Jana kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu nikajikuta ving'amuzi viwili vyote vimekata kwa pamoja afu sina salio kwenye mobile na mvua inanyesha,mm huyo TBC nikakuta zilipendwa..nikawa naangalia huku nacheka na kujisemea moyoni hii ndio TV ya taifa inayoendeshwa kwa kodi yangu
Nawe ni Kilaza, utaangaliaje TBC? (samahani lakini). Mtu aliyekwenda shule siwezi kuangalaia uchafu kama ulivyouita. nakubaliana na wewe kabisa. Tangu Jiwe aingie madarakani 2015/10 niliacha kabisa kuangalia TBC hasa pale alipoondoka Tido Mhando!
Watangazaji wao hasa wa kike hawana mvuto kabisa wanavaa nguo kama siku ya Ijumaa ili wakimaliza kusoma taarifa ya habari waende kuswali,ni aibu labda wanawapata toka Zenj.Hivi bosi wao haya mambo hayajui au hayaoni?
Zile ni bure sio pay TV,pili kisimbuzi lazima wapate leseni ile mbona azam wamebadiri sasa ni bure? Mnatetewa mleta dharau shauri yenu.Mkuu hakuna namna, kuna baadhi ya mambo ukitaka kuangalia lazima unayafuata TBC sana sana kwa sisi watumiaji wa DSTV hakuna local chanel zaidi ya hiyo Magufuli katukomesha kwa kuzikataza kutazamwa na kila king'amuzi.
Labda Azam niitafute pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa dunia ya sasa,kuna vitu baadhi hawana?Kiuhalisia TBC ndiyo chombo tajiri kuliko vyote Tanzania na Afrika Mashariki hasa wakitambua rasilimali walizonazo mfano picha mbalimbali za zamani walizopiga enzi hata za mkoloni lakini historia yetu kama Taifa na utajiri wa rasilimali tulionao kama Taifa hivi vyote wakiviona hawa jamaa wakafanya biashara kisasa watatengeneza faida kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipengele kwenye course ya journalism inasema. To be a good journo NEVER EVER JOIN THE ESTABLISHMENT. Hichi kipengele watu wa TBCCM hawakijui. A good journo should be able to report without fear or favour.
Mkuu ushaviona vifaa vyao?TBC sijui shida ni nini ila ndiyo kituo cha matangazo ya runinga na redio chenye vifaa bora kabisa na vya kisasa ila hatuoni wakibadirika leo wala kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Super Brand Afrika Mashariki.