Ukiendelea kuangalia TBC1sisiem,utapata pressure bure ndugu.Achana kabisa na hiyo kitu.Habari siku hizi ni mtandaoni tuTBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.
Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?
Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
Yaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
Umeongea nini hueleweki kafagie uwanjaYaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
Kwa sababu ulikuwa mpango wa CCM, ni neema kwao.
Mkuu Upo Copyright namimi! Sitaki Kabisa, naangaliaga Hard Movies tu!Baada ya kukatiwa channels za ndani mimi siku hizi sitazami kabisa taarifa ya habari za ndani. Nimeshindwa kuvumilia kurudisha nyuma miaka 40. Niliacha kutazama tbc 2013. Itv, na nyinginezo niliacha 2016 baada ya kulazimishwa kutangaza kama tbc.
Hamuwezi kuficha Hali halisi.
Inasikitisha kuona kuna Watanzania wanaoliona kila tukio la hapa nyumbani kwa jicho la wanachadema na wanaccm. Mwanachadema akiuawa mwanaccm anashangilia na kunywa mvinyo vivyo hivyo mwanaccm akiuawa. Hivi kweli hatuoni madhara ya haya tunayoyafanya. Utaifa uko wapi? Rwanda ilianza hivihivi. Madhara yake yakaja kujitokeza miaka 40 baadae. Mnataka kutupeleka huko? Kama kuendesha nchi kwa mfumo wa vyama vingi kumetushinda heri tuwaase viongozi wetu turudi kwenye mfumo wa chama kimoja kama hiyo itakuwa ni gharama ya kudumisha umoja wa taifa letu uliojengwa na waasisi wetu. INASIKITISHA SANA.Yaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
Mkuu ukiangalia TBC unit za umeme zinaenda nyingi sana acha kuangaliaTBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.
Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?
Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
Hii TBC ni masaburi, tena ni ya watu wapumbavu, inayoongozwa na wajinga wenye fikra zilizoshikwa na watawala waliopungukiwa akili wakifurahia kuonea watu!!!TBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.
Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?
Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
Iyo tisa ingezuiliwa na jiwe wangeenda live kutwa mzima, roho mnayopandikizwa ni ya kichawi/kizombi mwisho mtageukiana tu.Yaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
Hahahahah!Mkuu ukiangalia TBC unit za umeme zinaenda nyingi sana acha kuangalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaai naichukia TBC kazi yao ni kuabudu na kuimba mapambia ya kumsifu JPM, hakuna reality wala credibility kwa taarifa zaoHahahahah!
Mkuu umetisha sana!
Unakumbuka kipindi cha Tido Mhando na kipindi cha Kutoka Majimboni?
∆wanasiasa wa CCM wameiharibu sana TBC∆
Na wewe Unafanya Nini Hapa maana JF inapigwa Vita serikaliYani mtu ambae haeshimu mamlaka za nchi na bado atangazwe na chombo cha umma? Hayo ni matumizi mabaya ya akili mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana mimi na familia yangu tuliacha kuangalia na kusikiliza TBC toka mwaka 2015.Sababu ni kudumaza uwezo wa kufikiri wa watoto,utakuta kuanzia habari ya kwanza hadi ya mwisho ni kusifia utawala tu as if hakuna matatizo.TBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.
Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?
Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
Dictatorial mentalityYaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana