Tazama Vodacom wanachotufanyia!

Tazama Vodacom wanachotufanyia!

Penguini

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
388
Reaction score
298
Ukifungua menyu ya kununua bando:
1474031897767.jpg


Ukibonyeza 1:
1474031904840.jpg


Yaani ukibonyeza moja kufuatilia kifurushi kilichoelezwa pale juu unakutana na maelezo mengine, huu ni utaratibu wa dunia ya ngapi mbona sielewi?
 
Ukifungua menyu ya kununua bando:View attachment 401496

Ukibonyeza 1:View attachment 401497

Yaani ukibonyeza moja kufuatilia kifurushi kilichoelezwa pale juu unakutana na maelezo mengine, huu ni utaratibu wa dunia ya ngapi mbona sielewi?

Pia kuna promotion ya KAMATA MPUNGA ambayo wanadai kutoa TZS 1000,000 kwa kila siku, na TZS 5,000,000 kwa wiki lakini sijawahi kusikia washindi wakitangazwa redioni au magazetini au walau kutumiwa SMS
 
Pia kuna promotion ya KAMATA MPUNGA ambayo wanadai kutoa TZS 1000,000 kwa kila siku, na TZS 5,000,000 kwa wiki lakini sijawahi kusikia washindi wakitangazwa redioni au magazetini au walau kutumiwa SMS
Akili kichwani mwako, bado mnadhani kuna bure duniani?
 
Sasa vitu kama hivyo, serikali haivioni?
Au... hafu mi sielewi ujue!
 
Sasa vitu kama hivyo, serikali haivioni?
Au... hafu mi sielewi ujue!
vidacom wamekuwa wakilalamikiwa mda mrefu sana kwa huduma zao nyingi zinazotiliwa shaka lakini serikali yetu imekaa kimya, wizara ya mawasiliano kimya, tuliyata wenyewe, wacha tusubiri tu 10 years...manake tukilalamika sana mwishowe watatuambia wachochezi...wacha tuumie kwani tulitaka kuumia wenyewe.
 
vidacom wamekuwa wakilalamikiwa mda mrefu sana kwa huduma zao nyingi zinazotiliwa shaka lakini serikali yetu imekaa kimya, wizara ya mawasiliano kimya, tuliyata wenyewe, wacha tusubiri tu 10 years...manake tukilalamika sana mwishowe watatuambia wachochezi...wacha tuumie kwani tulitaka kuumia wenyewe.
Dawa ni
––>hadi mtandao mwingine!
 
Back
Top Bottom