Tatizo watanzania hatutaki kufikiria

Willy T

JF-Expert Member
Mar 21, 2016
252
91
Hivi kweli baada ya hawa MCC kukata misaada yap basi maneno kibao yameanza na sijui sababu ya haya maneno maana mwenye nacho kakataaa, sasa unamlaumu kwa kukunyima msaada wa walipa kodi wake?

Lengo langu sio hilo nlitaka tu kusema wakati watu wanasema wachukue misaada yote je?
Ni kusahau au kutifikiria?
Mmesahau net mnalalia za nani?

Je? Wakikataa kutia ARVs nini kitatokea kama sio kujipa stress tupunguze mihemko
 
Ni ukweli usiopingika kuwa bado tunahitaji sana misaada ya wahisani na hata kama ukusanywaji wa kodi na kubana matumizi umejaribu kusimamiwa na serikali iliyoko madarakan...Lakini ni mapema mno kusitishiwa msaada wananchi wa kawaida tutaona ugumu wa hayo mambo mapema mno...
 
Kiwanda Hata Kimoja Hakihawahi Zinduliwa Ila Viburi sasa ...na Umaskinin wetu Jeuri
 
wewe ndio hutaki kufikiria tusipopewa arv watu ndio watajua madhara ya ukimwi watapunguza ng'ono zembe
hivi mpaka net unataka usaidiwe jifunze cuba pamoja na vikwazo waliwezaje kutokomeza malaria
 
Acha Tuteseke hadi tukome, sisi watanzania ni wa ajabu Sana, kila uchaguzi CCM mbele Kwa mbele, sasa ngoja tutakiona cha moto, miaka 54 ya uhuru chini ya CCM Tanzania haijaweza kujitegemea pamoja na kuwa ina kila kitu, Tulianza na Malaysia, China, Singapore na Indonesia, wenyewe tayari wameshapaa kiuchumi sisi bado tunalia lia tu, unabii wa TB joshua umetimia Hatimae, aliwaambia kina Lowassa watulie tu maana kuna jambo lisilo la kawaida litaikumba Tanzania.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa bado tunahitaji sana misaada ya wahisani na hata kama ukusanywaji wa kodi na kubana matumizi umejaribu kusimamiwa na serikali iliyoko madarakan...Lakini ni mapema mno kusitishiwa msaada wananchi wa kawaida tutaona ugumu wa hayo mambo mapema mno...
Ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili mkuu.
Mimi napinga sana misaada kwasababu naamini siku zote hakuna kitu cha bure.
 
Ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili mkuu.
Mimi napinga sana misaada kwasababu naamini siku zote hakuna kitu cha bure.
Usisahau kupitia misaada hiyo Tanzania yote sasa imeunganika kwa barabara zenye lami, Kupitia misaada hiyo hiyo wahathirika wameweza kupata ARV's kwa bei chee mno ili hali nchi za majirani zetu ARV's ni anasa...Bado tulikuwa hatujafika mahali pakuweza kujiendesha na machungu haya siku si nyingi tutaanza ya feel..
 
Unajua bado kuna kitu tunashindwa elewa wenzetu walianza hivi

Health and education
Focused investment in human capital (health and education) during the early years of development.Comprehensive land reform that led to equitable distribution of income/wealth, also early on.A balanced mix between government intervention and involvement of the private sector with a large export orientation.Monetary and fiscal policy focused on providing a stable macro-economic.

Sasa sisi hata policy za maendeleo hakuna Je? Tutaweza kupata hata toothpick , mtu anakipaji lakini mmmh!!!!

Hatuwezi kujifananisha na China
Ni kama mimba na MTU anayetembea .....
 
Mimi bado nasubiri walau kiwanda kimoja, maana tuliambiwa TANZANIA YA MAGUFULI NI YA VIWANDA
 
Anayekunyima Msaada Anakufunza Ujitegemee.

Zaidi Ya Miaka 50Watz Tumeishi Maisha Magumi Na Misaada Tulikuwa Tunapewa, Leo Misaada Inasitishwa Tunajifanya Ilikuwa Inatusaidia.

Tuache Unafiki Jaman, Tz Bado Tunaweza Kukusanya Kodi Vyema Kwa Vyanzo vyetu Na Kufanya Maendeleo, Kwanza Hii Ni Nzuri Italeta Changamoto Ya Watu Kufanya Kazi.

Huduma Za Kijamii Zimekuwa Duni Tangu Enzi Zile Na Tulipta Hiyo Nisaada, Waondoke Tu Na Misaada Yao Naamini Tutasimama.
 
wewe ndio hutaki kufikiria tusipopewa arv watu ndio watajua madhara ya ukimwi watapunguza ng'ono zembe
hivi mpaka net unataka usaidiwe jifunze cuba pamoja na vikwazo waliwezaje kutokomeza malaria
Hivi wee unajua ni watz wa ngapi wanaishi kwa kutegemea vidonge vya arvs,basi kama watasitisha kuleta vidonge hivyo....kutatokea balaaa kubwaaaa....

Ovaaa
 
Back
Top Bottom