Tatizo: Unfortunately WhatsApp has stopped

Chip yake itakuwa in mediatek hiyo
 
nmefanya ivyo mkuu ahsante naona imeacha ngoja nione had jion,,,maana nipishawahi kureboot baada ya siku mbili tatzo likajirudia
Sent from my S9 8 using JamiiForums mobile app
 
nmefanya ivyo mkuu ahsante naona imeacha ngoja nione had jion,,,maana nipishawahi kureboot baada ya siku mbili tatzo likajirudia

Sent from my S9 8 using JamiiForums mobile app

Reboot haisaidii kitu Mkuu
Cha muhim ni ku Update software ya simu yako,kingine hakikisha device ina storage place ya kutosha,hio simu yako inaonekana ina mzigo mkubwa saana
Jaribu kufuta App zisizo kuwa na umuhimu ktk simu yako
Pia punguza videos na picha zisizokuwa muhim ili upate nafac ya kutosha
 
uwezi amin mkuu hii simu haina picha wala video hata moja,nilifuta kila kitu lakin bdo inaleta mnyau nyau
 
free GB 29 used GB 3
Hiyo ni fake.
29+3=32
Ningumu kumeza, internal storage ni 32 Gb afu free space iwe 29 na used space ni 3.
Usidanganye watu wazima.
Una maanisha system memory ni 3gb...??
Kwa s9 haiwezekani kamwe.
Natumia G920P s6 flat, total storage ni 32 gb system memory imechukua 6.78 gb.
Kwa ushauri rudisha hiyo simu sehemu ulipo inunua, coz uliuziwa kopo.
 
inawezekana mkuu ni fake 100℅ nilibadilishana na sister nkampa tecno yangu,,nae ilikuwa inamsumbua ivi ivi nikamwambia anipe ntajua Jins ya kuilekebisha ndo maana nimeleta humu nipate msaada
 
@kamungila karim

wewe nae utakuwa unasumbuliwa na simu mbona Mimi GB wasap naisikiaga tu na huwa sisumbuliwi na haya matatizo ...inategemea unatumia simu gani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…