tatizo password apple ipad 4

tatizo password apple ipad 4

the horticulturist

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
1,959
Reaction score
1,929
kuna best yangu ana apple ipad 4 amesahau password je kuna njia ya kuiformat au njia gani afanye kuifungua,c mjanja sana wa ipad na hata mimi c mzoefu nazo.Ahsante
 
kuna best yangu ana apple ipad 4 amesahau password je kuna njia ya kuiformat au njia gani afanye kuifungua,c mjanja sana wa ipad na hata mimi c mzoefu nazo.Ahsante
naombeni majibu wapendwa!
kama ni Apple ID hakuna njia nyingine ya kuUnlock zaidi ya kuweka Original Apple ID password. Kama ni pass code lock mwambie huyo best wako aiSyncronise kwenye computer ya mwisho aliyofanyia synchronization kabla haijajilock, ''pass code lock'' itatoka...
 
Sometimes anaweza akawa anasahau kuanza na upper case letter coz thats how apple ID mara nyingi zinafungwa...
 
Sometimes anaweza akawa anasahau kuanza na upper case letter coz thats how apple ID mara nyingi zinafungwa...

Thnx nitamwambia afanye syncronisation kwa pc yake ya mwisho na aangalie hzo uppercase,tnx
 
Back
Top Bottom