kingfisher93
Member
- Aug 17, 2016
- 56
- 23
Nimemaliza chuo mwaka 2015 degree course wildlife mgt. Bahati mbaya sijafanikiwa kujiajiri/kuajiriwa.Nimeapply sana kwenye ma college ya tourism na wildlife_hakuna kitu.sambaza cv NGOs na mashirika yanayohusu wildlife_hakuna kitu. Nimeapply sana kazi za zoom tz, ajira zetu_hakuna kitu.Nikaomba ualimu kwenye mashule/tuition centres_hakuna kitu.Labda udereva kwa kuwa nina leseni class D_hakuna kitu.Tafuta sana ukondakta wa daladala/utingo wa magari na kuosha magari labda _hakuna kitu.Kazi za humu JF nimepita nazo sana tu za mabucha na kwenye chipsi hakuna kitu.Daaah Nakosea wapi? jamani tatizo liko wapi? hebu naombeni mnisaidie.