Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,544
Kumekuwa na madai mengi sana kwa watu wengi sana kuhusu ubora wa elimu kati ya Tanzania na Uganda kwamba elimu ya Uganda iko chini kuliko ya Tanzania na wengine wakidai vice versa. Nchi zote zina mfumo wa 7-6-3*4.moja inakuwa je bora kulilo nyingine?Je ELIMU YA TANZANIA NI NGUMU AU MAZINGIRA YA UTOAJI WA ELIMU HII NDIYO MAGUMU?
karibuni wadau wa elimu tujadili
karibuni wadau wa elimu tujadili