Tatizo ni ccm au njaa?

NEW NOEL

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2011
Posts
863
Reaction score
409
View attachment 99778
Ukimtazama jamaa vizuri utaona amevaa T-shirt ya CCM na anaishi katika nchi inayoongozwa na ccm.
Kulala kwake tatizo itakuwa njaa na je njaa hiyo kaisababisha yeye au CCM?
 
CcM ndiyo kirusi mpaka sasa inasuasua lakini
2015 itakuwa inepatikana na kitatoweka Tz.
 
tatizo ni ccm pamoja nahuyo jamaa kwani kama asingepokea hiyo t-shirt nakuichagua ccm yasingemkuta hayo
 
Tatizo ni Ofisi ya Tendwa na Ofisi ya Kiravu kukosa uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…