ashecknazi
Member
- Aug 26, 2017
- 16
- 11
Habari wana jamvi,
Kumekua na sintofahamu kwa wakazi wa wilaya ya kigamboni kuhusiana na kero ya kukatika kwa umeme kila siku na kila wakati kwa takriban wiki tatu au mwezi mmoja.
Tatizo hili linaathiri shughuli za kila siku za kujitafutia kipato na usumbufu mkubwa kwa wakazi wa meneo haya!
Cha kushangaza Tanesco hawatoi tamko rasmi kuhusu sababu ya tatizo hili huku kukiwa na visingizio kadha wa kadha kila siku!
Kwa anayefahamu kiini Cha tatizo hili atujuze wadau tafadhali
Kumekua na sintofahamu kwa wakazi wa wilaya ya kigamboni kuhusiana na kero ya kukatika kwa umeme kila siku na kila wakati kwa takriban wiki tatu au mwezi mmoja.
Tatizo hili linaathiri shughuli za kila siku za kujitafutia kipato na usumbufu mkubwa kwa wakazi wa meneo haya!
Cha kushangaza Tanesco hawatoi tamko rasmi kuhusu sababu ya tatizo hili huku kukiwa na visingizio kadha wa kadha kila siku!
Kwa anayefahamu kiini Cha tatizo hili atujuze wadau tafadhali