Tatizo la umeme Kigamboni

Tatizo la umeme Kigamboni

yaser

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
1,361
Reaction score
299
Jaman tatizo la umeme kigambon limeshakua sugu na wala hatuelewi linasababishwa na nini na kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya leo tu wamekata zaid ya mara nne na mpaka muda huu naandika hii thread tuko na giza. Inafika muda nashindwa kuamini kama kigambona kuna viongozi, lakini pia najiuliza hawa wafanyakazi wa tanesco ya huku familia zao ziko wapi kwa sababu sidhan kama wanaweza kuvumilia haya mbele ya familia zao.yaan ni kero kero kero mpaka basi. Walau basi mtudanganye na visababu dunia ya leo inataka mawasiliano sio mnaamua tu nyie kufanya mnavyotaka au mpaka watu waandamane ndio mtatambua tatizo? Dr. Faustin upo kweli? na haka kajimbo unakataka tena 2015 au ushashiba? Wananchi wako wanateseka wasaidie japo kwa hili kiongozi.
 
Umeme usharudi.

Umerud wap mbona giza tu mji wote...halafu hata ukirud sisi tunataka kitatuliwa kwa hili tatizo sio kukata na kurudisha hali ni mbaya kigambon hakuna siku inapita bila kukatwa umeme kama kweli ww ni mkazi wa huku utaelewa namaanisha nini.
 
Meneja wa Tanesco Kigamboni ni wa wa kutumbua
 
Back
Top Bottom