PC yangu ilizimika ghafla,nikaiwasha haikuwaka badae nikatoa beteri nikaiunga direct badae Ikawaka
Ikaleta mandishi haya....
BOOTMGR is missing......Press Ctrl+Alt+Del to restart
nikafanya kama ilivoelekeza lakini bado tatizo lilelile yanajirudia maandishi Yale.
kwa wataalam was PC tatizo linaweza kuwa ni nn,ushauri labda..
Nawasilisha jamani
(PC aina ya Samsung)
Ikaleta mandishi haya....
BOOTMGR is missing......Press Ctrl+Alt+Del to restart
nikafanya kama ilivoelekeza lakini bado tatizo lilelile yanajirudia maandishi Yale.
kwa wataalam was PC tatizo linaweza kuwa ni nn,ushauri labda..
Nawasilisha jamani
(PC aina ya Samsung)