kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 625
Na wakae huko huko, ni matapeli sana siku hizi.CEO wote wako keko
Wanakula mahindi ya kukaanga!CEO wote wako keko
Wakuu habari za wiki end,
Nimeamka na kukuta Halotel SMS hususani za WhatsApp hazitoki kabisa na Network yao ipo chini. Je hii inaweza ikawa ni hujuma ya upinzani?
Mwenye jibu tafadhali
Hata kwangu ni hivyo network ya halotel sikuhizi magumashUpo mkoa gani?
Au umeishiwa kifurushi?
ni feki sana eti ukitaka kusajili unaulizwa jina tu vingine wanakadiria amna cha kitambulshoWameshikwa pabaya na TCRA
ndio maana wametekwa na TCRAni feki sana eti ukitaka kusajili unaulizwa jina tu vingine wanakadiria amna cha kitambulsho