Tatizo la masikio

WABALLA Inc

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
2,711
Reaction score
1,018
Habari wana jamvi?!
Naomba kujua dawa ya kuondoa uchafu wa masikio. Tatizo langu ni kuwepo kwa vitu vigumu/uchafu ambao najaribu kila siku kuutoa au kuupunguza bila mafanikio .nimeshatumia mpaka dawa ila naishia kupata maumivu.Wakati wa kuoga maji yakiingia kwenye masikio hayatoki hivyo kuziba masikio KWA siku kadhaa.Pia nikitumia njiti maalum za kutolea uchafu masikioni naumia na masikio yanaziba.
Nitashukuru kwa ushauri!
 
Nanda hospitali ukasafishwe masikio yakoacha kutia vijiti masikio utakuwa bubu wewe.
 
Acha upuzi kama huo wa kuwa unatumia njiti kwenye masikio kwani huchangia kuongeza ugumu ndani ya sikio!Hivyo mapema sana wahi hospital haraka xana kabla tatizo halijawa kubwa
 
Nunua dawa inaitwa CERUMOL ear drops solution.. ni nzuri kwa kusafisha masikio
 
Jaribu pia kutumia jeli ya asili ya mu-aloe vera inasaidia sana kusafisha masikio na kuuondoa uchafu wowote unaosumbuwa.

Ukiuhitaji niachie ujumbe kwenye whatsapp +255769142586
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…