Tatizo la mabomba ya maji kutoa maji ya tope

Tatizo la mabomba ya maji kutoa maji ya tope

banburydude

Member
Joined
Jul 8, 2019
Posts
54
Reaction score
72
Jamani haya maji ya tope yanayotoka bombani ni maeneo yote ya jiji la Dar au ni baadhi tu ya maeneo? Hii ni hatari, DAWASA fanyeni something kurekebisha hii hali.
 
Chimbeni visima muache kulalamika
 
PXL_20240629_202048669.jpg

Sio kwote. Ishu ya maji machafu sio treatment plant, ni hizi distribution network unakuta imefika sehemu maji ya nje yanaingia ndani ya bomba (lenye leakage)
 
Chimbeni visima muache kulalamika

Uko sahihi mwamba kuepuka hii mambo ni bora mtu kuwa na Kisima chako Ila tatizo ni njuluku siyo wote tuko kama wewe mwamba shida ndipo ilipo, concern yako ni sahihi kabisa.
 
Uko sahihi mwamba kuepuka hii mambo ni bora mtu kuwa na Kisima chako Ila tatizo ni njuluku siyo wote tuko kama wewe mwamba shida ndipo ilipo, concern yako ni sahihi kabisa.
Mimi mwenyewe nipo na ndoo yangu kichwani hata bomba sina😂😂😂
 
Back
Top Bottom