Tatizo la kifua kwa mama mjamzito

Tatizo la kifua kwa mama mjamzito

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
114
Reaction score
172
Matatizo ya kifua wakati wa ujauzito huweza kutokea kwasababu mwili wako unakua na mabadiliko wakati wote wa ujauzito, na mabadiliko kadhaa yanaweza kusababisha maumivu kwenye kifua chako.

Kuongezeka kwa tumbo la uzazi kunaweza kuweka shinikizo kwenye misuli ya upumuaji inayofahamika kama kiwambo cha moyo au ''diaphragm'.

Matiti yako yanakuwa makubwa, na sehemu ya mbavu zako hutanuka. Mabadiliko haya yote mawili huweza kusababisha shinikizo na maumivu pamoja na kupumua kwa shida.

Pregnancy.jpg
 
Well said maana wife anaanza mwez wa tisa huu amebanwa na kifua ghafla kinachoambatana na maumivu ya kichwa yasiyopona.
 
Back
Top Bottom