Tatizo la ads

Tatizo la ads

amoneyazan

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
698
Reaction score
472
Habari zenu wakuu
Leo nimependaa kushare tatizo hili linalosumbua ili kupata solution na kufahamu kwenu nyie wenzangu inakuajee
Iko hivi
Kwa siku za hivii karibunii imetokea tatizo moja katika PC yangu , ninapokua na browse adds zinajitokezaa nyingii mpkaa nashindwaa kufanyaa nachotaka mtandaonii

Sasaa imefikiaa hatuaa hataa nikiandikaa website yoyote mfano www.jamiiforums.com haifunguii jamii forum badala yake ina ni direct kwenye web zinginee kituu kinacholetaa usumbufuu na kero kubwa
Web ambazoo wanapenda Ku direct zaidi ni moja inaitwa flirch kama sjakosea kidada kinajitokezaa kinachezaa chezaa
nyinginee ni alibaba ya products mbalii mbalii

Nimejaribu kwa browser ya Mozilla na Google chrome lakin tatizo linaonekana kote
Naombaa msaada kwa wenye ujuzii na haya maswala ya mitandao ni nini tatizoo ? Na solution ni ipi ?
Natanguliza Shukranii
 
Habari zenu wakuu
Leo nimependaa kushare tatizo hili linalosumbua ili kupata solution na kufahamu kwenu nyie wenzangu inakuajee
Iko hivi
Kwa siku za hivii karibunii imetokea tatizo moja katika PC yangu , ninapokua na browse adds zinajitokezaa nyingii mpkaa nashindwaa kufanyaa nachotaka mtandaonii

Sasaa imefikiaa hatuaa hataa nikiandikaa website yoyote mfano www.jamiiforums.com haifunguii jamii forum badala yake ina ni direct kwenye web zinginee kituu kinacholetaa usumbufuu na kero kubwa
Web ambazoo wanapenda Ku direct zaidi ni moja inaitwa flirch kama sjakosea kidada kinajitokezaa kinachezaa chezaa
nyinginee ni alibaba ya products mbalii mbalii

Nimejaribu kwa browser ya Mozilla na Google chrome lakin tatizo linaonekana kote
Naombaa msaada kwa wenye ujuzii na haya maswala ya mitandao ni nini tatizoo ? Na solution ni ipi ?
Natanguliza Shukranii

Itakuwa una malware kwenye computer. Download malware removal application zipo nyingi for free
 
Habari zenu wakuu
Leo nimependaa kushare tatizo hili linalosumbua ili kupata solution na kufahamu kwenu nyie wenzangu inakuajee
Iko hivi
Kwa siku za hivii karibunii imetokea tatizo moja katika PC yangu , ninapokua na browse adds zinajitokezaa nyingii mpkaa nashindwaa kufanyaa nachotaka mtandaonii

Sasaa imefikiaa hatuaa hataa nikiandikaa website yoyote mfano www.jamiiforums.com haifunguii jamii forum badala yake ina ni direct kwenye web zinginee kituu kinacholetaa usumbufuu na kero kubwa
Web ambazoo wanapenda Ku direct zaidi ni moja inaitwa flirch kama sjakosea kidada kinajitokezaa kinachezaa chezaa
nyinginee ni alibaba ya products mbalii mbalii

Nimejaribu kwa browser ya Mozilla na Google chrome lakin tatizo linaonekana kote
Naombaa msaada kwa wenye ujuzii na haya maswala ya mitandao ni nini tatizoo ? Na solution ni ipi ?
Natanguliza Shukranii

Hilo sio tatizo ila tatizo ni site unazotembelea zinataka Pesa, na ni Haki yao kufanya hivyo.

Tumia
  1. Adblock Plus (install hapa INSTALL
    Au search AdGuard, kama unatumia FF below 40
 
Kuna adware flani amejiinstall kwenye mashine yako. Jaribu kuupdate antivirus yako na ufanye full scan, au la tumia ad blockers.

Mimi niliwahi kuingiliwa na such adware lakini niliitrace na kuiondoa manually. It is an executable that runs in the background kimya kimya inaleta matangazo kwenye almost every page you visit.
 
Itakuwa una malware kwenye computer. Download malware removal application zipo nyingi for free

Naombaa unisaidie link ya mojawapo ya malware removal kiongozi
 
Hiyo ni malware au adware kwenye machine yako, kutakoa na program ya ajabu ajabu umeinstall imekuchomekea hiyo.

Kwanza hakikisha una AV, nashauri Windows Security Essentials kwa Win 7, WIn 8 kwenda juu inakuja nayo built in inaitwa Windows Defender, hakikisha ziko updated.

Then download anti malware, always nilikuwa naipenda Malware Bytes Free (https://www.malwarebytes.org/downloads/) ila sijapata hili tatizo miaka sasa, washa Scan for Rootkits then fanya full scan ya machine.

Kama bado tatizo linaendela fuata maelekezo yote hapa https://www.reddit.com/r/techsuppor...ested_reading_official_malware_removal_guide/

Ukishafanikiwa kuwa mwangalifu software unazoinstall unazitoa wapi.
 
Hiyo ni malware au adware kwenye machine yako, kutakoa na program ya ajabu ajabu umeinstall imekuchomekea hiyo.

Kwanza hakikisha una AV, nashauri Windows Security Essentials kwa Win 7, WIn 8 kwenda juu inakuja nayo built in inaitwa Windows Defender, hakikisha ziko updated.

Then download anti malware, always nilikuwa naipenda Malware Bytes Free (https://www.malwarebytes.org/downloads/) ila sijapata hili tatizo miaka sasa, washa Scan for Rootkits then fanya full scan ya machine.

Kama bado tatizo linaendela fuata maelekezo yote hapa https://www.reddit.com/r/techsuppor...ested_reading_official_malware_removal_guide/

Ukishafanikiwa kuwa mwangalifu software unazoinstall unazitoa wapi.

Asante sana kiongozi ntafanya hivyo
Iki tick ntaleta feedback
 
Back
Top Bottom