View attachment 404284. Naomba ushauri juu ya hili tatizo kwanini zinapasuka na zingine kuoza. Hizi tikiti bado wiki mbili zivunwe na tatizo hili Luna siku kama 3 toka lianze
Sababu za kupasuka na kuoza kwa tikiti ni kama zifuatazo
1.kumwagilia kipindi ambacho hazitakiwi kumwagiliwa
2.kuweka mbolea za kukuzia bila mpangilio maalum
Mkuu wiki mbili kabla ya kuvunwa linyime maji ili liimarike na litengeneze sukari ndani alafu huwa halitosheki maji ukilimwagilia linakunywa maji moaka linapasuka lenyewe
Na pia kingine ni kuwa na Mchanganyiko wa upandaji unakuta mengine ni madogo yanahitaji maji na mengine hayahitaji hvyo kuepuka kuwa na Mchanganyiko huo ondoa machipukizi yote na usipande kwa muda tofauti eneo moja
Mkuu;
Kuna uzi alileta hapa MziziMkavu kuwa kuna mbegu toka China ya hii kitu. Ukila lililopasuka tu tegemea mambo ya ajabu kutokea kwako. Muulize Mzizi
maji mengi au ulinyima maji hlf ukazipa maji mengi sana tena kipindi cha jua,tikiti week moja kabla ya kuvuna usizipe kdg sn kama jua ni kali sanA itakusaidia kupata matikiti yenye sukari nyingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.