Tatizo ana tattoo, nimuulize?

mkuu wengne ndo kama hao,ukimuona unamuona wa maana unampa heshima zote(unaweza hata kumtambulisha kwa watu wako wa karibu)siku mnakutana faragha unakuta ana tattoo kwenye paja au kiunoni,tena jina la mwanamme[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana! Hakuchora Jina
 
Kama Hii Ya Pajani Unaionaje? Kiukweli Anasifa Zote za Mwanamke, Siioni Kasoro Nyingine Kwake, Ni Hiyo tu
 
Tattoo ni urembo km urembo mwingine kwa mwanamke au mwanaume..... kuelewa hili lazima akili yako iwe exposed

_____________________________________

(Exposure )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…