TARURA: Ni aibu kuwa na kipande hiki cha barabara eneo muhimu kama Sinza

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,533
Sinza Makaburini-Mlimani City almaarufu IGESA Road ni kipande kibovu mno kwa zaidi ya miaka 10 sasa kipo hivyo hivyo tangu 2007 huko kinatengenezwa matobo yanarudi kila mara matobo yanarudi.....kipande hiki ni kero kubwa sana....na mkakati wa kupunguza foleni Sam Nujoma Road na Shekilango Road unafeli miongoni mwa sababu ni kipande hiki kidogo sana chenye kama mita 850 tu hivi!!....hebu changamkeni mbandue hiyo lami korofi mfix hapo once and for all...panashusha hadhi ya jiji kubwa la kibiashara Dar es Salaam beibi.
Kwa ufafanuzi zaidi nimeambatanisha picha kama ANNEX I na II

N'yadikwa
20190807_170715.jpeg
20190807_170704.jpeg
20190807_170713.jpeg
 
Sinza Makaburini-Mlimani City almaarufu IGESA Road ni kipande kibovu mno kwa zaidi ya miaka 10 sasa kipo hivyo hivyo tangu 2007 huko kinatengenezwa matobo yanarudi kila mara matobo yanarudi.....kipande hiki ni kero kubwa sana....na mkakati wa kupunguza foleni Sam Nujoma Road na Shekilango Road unafeli miongoni mwa sababu ni kipande hiki kidogo sana chenye kama mita 850 tu hivi!!....hebu changamkeni mbandue hiyo lami korofi mfix hapo once and for all...panashusha hadhi ya jiji kubwa la kibiashara Dar es Salaam beibi.
Kwa ufafanuzi zaidi nimeambatanisha picha kama ANNEX I na II

N'yadikwa View attachment 1174824View attachment 1174826View attachment 1174827


Nimeipenda dashboard yako
 
HIVI MBUNGE AU DIWANI WA HUKO HAWAONI KWELI? AU NDIO MPAKA ZIARA ZA KUSHTUKIZA?
Kwani ni kipande hicho tu
Mbona Kuna vpande kibao bado hawajarekisha
....
Alafu hao tarura! Ubora wa ujennzi wao wa Barabara ni imara Kweli

Ova
 
Jamaa barabara wanajenga kwa kiwango sana kwa hili nawasifu...mfano ni hiki kipande cha Afrikana kupandisha kule Mbezi Juu safi.sasa wageukie hapa Igesa Road ni kero mno
Kwani ni kipande hicho tu
Mbona Kuna vpande kibao bado hawajarekisha
....
Alafu hao tarura! Ubora wa ujennzi wao wa Barabara ni imara Kweli

Ova
 
Jamaa barabara wanajenga kwa kiwango sana kwa hili nawasifu...mfano ni hiki kipande cha Afrikana kupandisha kule Mbezi Juu safi.sasa wageukie hapa Igesa Road ni kero mno
Ila Barabara zinajengwa changamoto kubwa ni kufagia, kuondoa mchangaa juu ya lami

Ova
 
Mnapataga shida mkipita pale night kali kwenda kuskiliza mlio wa ATM afu kuzitumia sinza.
 
Jamaa barabara wanajenga kwa kiwango sana kwa hili nawasifu...mfano ni hiki kipande cha Afrikana kupandisha kule Mbezi Juu safi.sasa wageukie hapa Igesa Road ni kero mno
Wanajenga Shekilango road(4 lanes) na kipande hiko soon hela ishatoka.
 
Hapo safi aisee...sikuijua hii wakitanua Shekilango Road watakuwa wamefaulu sana maana nayo inakera hasa peak hours
Wanajenga Shekilango road(4 lanes) na kipande hiko soon hela ishatoka.
 
Back
Top Bottom