TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

Muulize Gamba wa DW.Halafu we njegere usidhani kila mtu ni mwanasiasa!
Kama sio mwanasiasa gamba umejulia wapi?? Kuna vitu vya kupost, sio vitu ambavyo viko obvious, bahati nzuri watu uzi huu hawatiririki kama alivyotaka mleta uzi, Acha unafiki wee bavicha.
 
Umesahau history yake ambayo watanzania watamkumbuka kwa dhambi yake ya kupindua maoni ya wananchi ya katiba mpya, mungu ampe alicho stahiki
Hivi hakuwahi msema vibaya Mzee mpole Edward?
Ukiona watu wanafurahia kifo,jitafakari ewee uliyepo
 
Aliwahi kusema zanzibar haiwezi kupewa wafuga ndevu, hahahahahahabah hakujua masikini kuwa ipo siku ndevu zake za makalioni zitaliwa na wadudu, poleni wafiwa
 
Kama sio mwanasiasa gamba umejulia wapi?? Kuna vitu vya kupost, sio vitu ambavyo viko obvious, bahati nzuri watu uzi huu hawatiririki kama alivyotaka mleta uzi, Acha unafiki wee bavicha.
Isack Gamba ni mtangazaji wa DW radio au wewe unalijua gamba gani?
 
Inna Lillahi wainna Illaihi Rajiun
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…