Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,573
Tunataka ulete ushahidi maana hata Madiba aliitwa gaidi pasi na evidence km kweli unajielewa ww ndie unaetakiwa uisadikishe kauli yako ya kumezeshwa kwa proof
Mimi nimesema Mursi alikuwa kiongozi wa kikundi cha kigaidi cha Muslim Brotherhood. Sasa wewe unayepinga lete ushahidi unaopinga ukweli huu. Mimi ninayekupa ushahidi kuntu na wewe unayepinga bila ushahidi nani KONDOO?