Umepanick?CCM mbele kwa mbele...tumewapiga kwenye mitaa,tunawapiga ubunge na tunawapiga urais.Mpaka mwezi wa 9 unaisha hakutakuwa na Lowassa wala Sumaye,hao mafisadi wenu mtaishia kuwaona kinyesi na mtaishia kujuta tu kuwa heri tungeenda ba Dr Slaa.Lowassa hana usafi wa kuisema CCM lolote na kinyume chake yeye ndio ule uchafu uliokuwa CCM.Sasa wote hap mahakama ya ufisadi inawahusu.
Dr. Magufuli yuko CCM na anaisema vibaya serikali ya ccm imeua reli, viwanda,shule, hospitali hazina dawa.
Kinana alizunguka nchi nzima akiisema serikali ya chama chake. Sumaye na Lowassa wao watashindwaje kuisema?