Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Nilikua sijui kama kuna wwbongo wako deep kiasi hichi aisee Nimetembelea site ya Law school, www.lst.ac.tz nikakuta website iko hacked na Tanzania Cyber Army, wanasema watahack website zote za serikali mpk maisha bora kwa kila mtanzania yapatikane
Kweli serikali ya magamba imechokwa na kila nyanja. Sasa kuna mahackers wa kibongo kazi ipo
Kweli serikali ya magamba imechokwa na kila nyanja. Sasa kuna mahackers wa kibongo kazi ipo